
Chumvi kama madini muhimu katika kuongeza radha ya chakula yana madini joto muhimu kwa afya ya mwanadamu. Madini joto haya yakikosekana husababisha ugonjwa wa kuvimba shingo ROVU au kitaalamu wanauita GOITA. Je unajua chumvi inavyozalishwa kiasili huku kwetu Singida? Je unajua inatoka wapi au inatokana na nini?
Singida ni miongoni mwa sehemu kame nchini Tanzania yenye kupata mvua...