
Na Millard Ayo
.
Baada ya Naibu waziri wa Elimu
na Mafunzo ya ufundi Philipho Mulugo kuomba radhi kwa wote waliomfikiria
vingine baada ya kuzungumza kwenye mkutano Afrika Kusini kwamba
Tanzania ni muungano wa Pemba na Zimbabwe msanii wa bongofleva Afande
Sele ametoa maoni yake.
Sele ambae ameahidi kugombea
ubunge wa Morogoro mjini 2015 huku akisisitiza kwamba atakua kwenye
chama pinzani na sio CCM namkariri akisema...