Recent Posts

Friday, October 26, 2012

NA HAYA NDIYO MANENO YA AFANDE SELE MGOMBEA UBUNGE MTARAJIWA JUU YA NAIBU WAZIRI WA ELIMU BW. PHILIP MULUGO KUHUSU TANZANIA NI MUUNGANO WA KISIWA CHA PEMBA NA ZIMBABWE HUKO AFRIKA KUSINI

Posted by Unknown 9:45:00 PM, under | No comments

Na Millard Ayo . Baada ya Naibu waziri wa Elimu na Mafunzo ya ufundi Philipho Mulugo kuomba radhi kwa wote waliomfikiria vingine baada ya kuzungumza kwenye mkutano Afrika Kusini kwamba Tanzania ni muungano wa Pemba na Zimbabwe msanii wa bongofleva Afande Sele ametoa maoni yake. Sele ambae ameahidi kugombea ubunge wa Morogoro mjini 2015 huku akisisitiza kwamba atakua kwenye chama pinzani na sio CCM namkariri akisema...

HUYU NDIO DJ MTANZANIA AMBAE AMEFANYA KAZI NA HAWA MASTAA WA DUNIA KAMA CHRIS BROWN IRELAND.

Posted by Unknown 9:33:00 PM, under | No comments

Na Millard Ayo Dj Frank Jez ni mtanzania ambae aliondoka Tanzania kwenda Ireland kusoma miaka ya 90 na baadae akaamua kuishi huko na kuanza kuwa Dj, mpaka sasa ameshaandaa na kufanya show na mastaa mbalimbali wa muziki duniani. Dj Frank na B.O.B . . Dj Frank Jez na Akon Na Chris Brown. . . . Na Chipmunk Na Tinie Tempa . . Na Wyclef Na Trey Songs Na Neyo Na Rick Ross. . Mtoto wa...

Wednesday, October 17, 2012

YASEMAVYO MAGAZETI YA LEO, STORI KUBWA NI MCHEZAJI SOKA KWENYE TUHUMA ZA MAUAJI YA KAMANDA WA POLISI MWANZA.

Posted by Unknown 9:09:00 AM, under | No comments

Magazeti haya ni kwa msaada wa www.millardayo.com . . . . . . . . . . . . ....

DK.ANTONY DIALLO ASHINDA UENYEKITI WA CCM MWANZA KWA KURA NYINGI UENYEKITI CCM MKOA

Posted by Unknown 8:50:00 AM, under | No comments

0 Mbunge wa zamani wa Jimbo la Ilemela jijini Mwanza Anthony Diallo(mwenye mashada-maua) ndiye  aliyeibuka mshindi kwa kura 611 katika wa nafasi ya uenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza, amemshinda aliekua mwenyekiti wa chama hicho Clement Gregory Mabina aliepata kura 328 (Picha kutoka kwa gsengo.blogspot.com habari na  MillardAyo in News 17th 0ct,2012 ...

HONGERENI WAZANZIBARI marufuku ya Pombe,Sigara Na Ukahaba Zanzibar

Posted by Unknown 1:53:00 AM, under | No comments

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imepiga marufuku biashara ya ukahaba, matangazo yote ya pombe na uvutaji wa sigara katika mikusanyiko ya watu katika visiwa vya Unguja. Hayo yamebainika kufuatia marekebisho ya kifungu cha sheria cha 112, cha mswada wa sheria kuhusiana na hifadhi na usimamizi wa vihatarishi vya afya ya jamii na afya ya mazingira na mambo yanayohusiana na hayo iliyopitishwa ndani ya Baraza la Wawakilishi jana.Waziri...

WAKUTANAPO WAKUU WA NCHI>>>>>>SULTANI QABOOS WA OMAN AMTUNUKU NISHANI YA HESHIMA RAIS JAKAYA KIKWETE

Posted by Unknown 1:23:00 AM, under | No comments

Sultani wa Oman,Qaboos bin Said Al Said (kulia)  akimtunuku Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete wa Tanzania, Nishani ya juu ya heshima ya Taifa la Oman wakati wa dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa kwa heshima ya Rais Kikwete na ujumbe wake jana jioni katika kasri ya  AL Alam jijini Muscat Oman. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi zawadi mwenyeji wake Sultani wa Oman Qaboos bin Said Al Said katika kasri ya...

BREAKING NEWS: HATARIIIIIIIIIIIII............... Bweni lanusurika kuteketea katika chuo cha UTUMISHI WA UMMA (TPSC) TABORA

Posted by Unknown 1:10:00 AM, under | No comments

 Hiki ndicho chumba moto ulipoanzia Bweni hilo la wasichana maarufu kwa jina la Shaaban Roberth limenusurika kuteketea kwa moto usiku huu kwa kuanza kuungua moja ya chumba kilichopo flow ya juu katika bweni hilo, ikiwa dalili za awali zinaonesha chazo ni shoti ya umeme kwenye switch ya ukutani (Wall Switch Socket). Juhudi za kuokoa zilifanikiwa mapema na kuzuia moto huo kuendelea kuteketeza bweni hilo, zana...

Friday, October 5, 2012

MARIO BALOTELLI ARUDIANA NA MPENZI WAKE WA ZAMANI

Posted by Unknown 12:17:00 AM, under | No comments

Mchezaji wa Manchester City Mario Balotelli akiwa na mpenzi wake Raffaella mwenye ujauzito, waliachana April 2012 baada ya kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi kwa mwaka mmoja, sasa hivi wamerudiana tena. . ...

Pages 81234 »